Kutoka 15:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Ni nani kati ya miungu mwenye kuwa kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani mwenye kuwa kama wewe, mwenye kujionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+ Mwenye anapaswa kuogopwa kwa kumuimbia nyimbo za sifa, Mwenye anatenda mambo ya ajabu.+ Zaburi 111:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kazi za Yehova ni kubwa;+ד [Daleth]Wale wote wenye kupendezwa nazo wanajifunza kuhusu kazi hizo.+
11 Ni nani kati ya miungu mwenye kuwa kama wewe, Ee Yehova?+ Ni nani mwenye kuwa kama wewe, mwenye kujionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+ Mwenye anapaswa kuogopwa kwa kumuimbia nyimbo za sifa, Mwenye anatenda mambo ya ajabu.+