1 Samweli 2:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Yehova atawavunja-vunja wale wenye kupigana naye;*+Atanguruma juu yao akiwa mbinguni.+ Yehova atahukumu mupaka kwenye miisho ya dunia,+Atamupatia nguvu mufalme wake,+Na kuinua pembe* ya mutiwa-mafuta wake.”+ 1 Samweli 7:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Wakati Samweli alikuwa anatoa toleo hilo la kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Israeli. Basi siku hiyo Yehova akaletea Wafilisti mungurumo mukubwa sana,+ Naye akawatia katika muvurugo,+ na wakashindwa mbele ya Israeli.+
10 Yehova atawavunja-vunja wale wenye kupigana naye;*+Atanguruma juu yao akiwa mbinguni.+ Yehova atahukumu mupaka kwenye miisho ya dunia,+Atamupatia nguvu mufalme wake,+Na kuinua pembe* ya mutiwa-mafuta wake.”+
10 Wakati Samweli alikuwa anatoa toleo hilo la kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Israeli. Basi siku hiyo Yehova akaletea Wafilisti mungurumo mukubwa sana,+ Naye akawatia katika muvurugo,+ na wakashindwa mbele ya Israeli.+