Zaburi 91:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Hakuna musiba wenye utakufikia,+Na hakuna pigo lenye litakaribia hema yako. Mezali 12:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Hakuna mambo yenye kuumiza yenye yatamupata mwenye haki,+Lakini waovu watapatwa na misiba mingi.+