Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:26-28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Wakati Sauli alifika upande mumoja wa mulima, Daudi na watu wake walikuwa upande mwingine wa mulima huo. Daudi alikuwa anafanya haraka ili kumukimbia+ Sauli, lakini Sauli na watu wake walikuwa wanamuzunguka Daudi na watu wake ili wawakamate.+ 27 Lakini mujumbe fulani akakuja kwa Sauli, na kusema: “Kuja haraka, kwa sababu Wafilisti wamekuja kushambulia inchi!” 28 Basi Sauli akaacha kumufuatilia Daudi+ na akaenda kupigana na Wafilisti. Ndiyo sababu mahali pale paliitwa Mwamba wa Migawanyiko.

  • 2 Samweli 17:21, 22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Kisha watu hao kuenda, walitoka katika kisima na kuenda na kumujulisha Mufalme Daudi. Wakamuambia: “Musimame na muvuke haraka maji haya, kwa maana hili ndilo shauri lenye Ahitofeli alitoa juu yenu.”+ 22 Mara moja Daudi na watu wote wenye walikuwa pamoja naye wakasimama na kuvuka Yordani. Kufikia asubui sana, hakuna hata mutu mumoja mwenye hakukuwa amevuka Yordani.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine