44 Utaniokoa kutokana na tabia ya watu wangu ya kutafuta-tafuta makosa.+
Utanilinda ili nikuwe kichwa cha mataifa;+
Watu wenye sikujua watanitumikia.+
45 Wageni watakuja wakijikunja kwa woga mbele yangu;+
Mambo yenye watasikia kunihusu yatawafanya wanitii.
46 Wageni watakosa uhodari;
Watakuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.