Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Daudi anamusifu Mungu kwa sababu ya matendo yake ya wokovu (1-51)

        • “Yehova ni mwamba wangu” (2)

        • Yehova ni mushikamanifu kwa wenye kuwa washikamanifu (26)

2 Samweli 22:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:1; Amu 5:1
  • +Zab 34:19
  • +1 Sa. 23:14; Zab 18:utangulizi

2 Samweli 22:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:3
  • +Zab 18:2, 3

2 Samweli 22:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Ao “mwokozi wangu mwenye nguvu.”

  • *

    Ao “mahali pangu salama pa juu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:4; 1 Sa. 2:1, 2
  • +Mwa 15:1; Kum 33:29; Zab 3:3
  • +Zab 9:9; Mez. 18:10
  • +Zab 59:16
  • +Isa 12:2; Lu 1:46, 47; Tit 3:4

2 Samweli 22:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 69:14
  • +Zab 18:4

2 Samweli 22:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Sheoli,” ni kusema, kaburi la wanadamu wote. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 116:3, 4
  • +Zab 18:5

2 Samweli 22:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 142:1; Yon 2:2
  • +Kut 3:7; Zab 18:6; 34:15

2 Samweli 22:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 5:4
  • +Yob 26:11
  • +Zab 18:7-12; 77:18

2 Samweli 22:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:27

2 Samweli 22:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 144:5; Isa 64:1
  • +Kum 4:11; 1 Fal. 8:12; Zab 18:9; 97:2

2 Samweli 22:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ya upepo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 4:4; Zab 80:1; 99:1
  • +Ebr 1:7

2 Samweli 22:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 36:29

2 Samweli 22:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:16; 1 Sa. 2:10
  • +Zab 18:13-16; Isa 30:30

2 Samweli 22:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 7:13; 77:17
  • +Zab 144:6

2 Samweli 22:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:21; Zab 106:9; 114:3
  • +Kut 15:8

2 Samweli 22:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:16-19; 124:2-4; 144:7

2 Samweli 22:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 3:7; 56:9

2 Samweli 22:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 19:11; 23:26; 2 Sa. 15:10

2 Samweli 22:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mahali penye nafasi kubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:8
  • +Zab 149:4

2 Samweli 22:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “usafi wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 26:23; 1 Fal. 8:32
  • +Zab 18:20-24; 24:3, 4

2 Samweli 22:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 6:1; Zab 19:9
  • +Kum 8:11

2 Samweli 22:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 84:11
  • +Zab 18:23; Mez. 14:16

2 Samweli 22:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 34:11; Isa 3:10; Ebr 11:6
  • +Zab 18:24; Mez. 5:21

2 Samweli 22:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:28; 97:10
  • +Zab 18:25-30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2010, uku. 26

    15/8/2002, uku. 5

2 Samweli 22:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “unatenda kama mupumbavu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:8; 1 Pe. 1:16
  • +Zab 125:5

2 Samweli 22:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 34:28
  • +Da. 4:37; 1 Pe. 5:5

2 Samweli 22:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 27:1
  • +Zab 97:11

2 Samweli 22:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:29; Flp 4:13; Ebr 11:33, 34

2 Samweli 22:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:4
  • +Zab 12:6; Mez. 30:5
  • +Zab 35:2; 91:4

2 Samweli 22:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:6
  • +Kum 32:31; Zab 18:31-42

2 Samweli 22:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 27:1; Isa 12:2
  • +Isa 26:7

2 Samweli 22:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 33:15, 16; Hab 3:19

2 Samweli 22:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:35; 113:6-8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2012, uku. 17

    15/9/2010, uku. 14

    1/11/2004, uku. 29

2 Samweli 22:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Vifundo vya miguu yangu havitatereza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 17:5

2 Samweli 22:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:13

2 Samweli 22:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 23:5
  • +1 Sa. 17:49; Zab 44:3, 5

2 Samweli 22:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Utanipatia migongo ya maadui wangu.”

  • *

    Tnn., “Nitanyamazisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:8
  • +Zab 18:40

2 Samweli 22:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 28:6; Mez. 1:28; Isa 1:15; Mik 3:4

2 Samweli 22:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 30:6; 2 Sa. 15:12
  • +2 Sa. 8:3; Zab 2:8; 60:8
  • +Zab 18:43-45

2 Samweli 22:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wakati tu sikio lao linasikia, watanitii.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 33:29

2 Samweli 22:46

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watafifia.”

2 Samweli 22:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:4
  • +Zab 18:46; 89:26

2 Samweli 22:48

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 25:29; 2 Sa. 18:19
  • +Zab 18:47; 110:1; 144:1, 2

2 Samweli 22:49

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:12; 7:9
  • +Zab 18:48

2 Samweli 22:50

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitapigia jina lako muziki.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:43; Zab 117:1
  • +1Nya 16:9; Zab 145:2; Rom. 15:9

2 Samweli 22:51

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Analeta ushindi mukubwa.”

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 2:6; 21:1
  • +Zab 89:20, 29; Lu 1:32, 33

Maandiko ingine

2 Sam. 22:1Kut 15:1; Amu 5:1
2 Sam. 22:1Zab 34:19
2 Sam. 22:11 Sa. 23:14; Zab 18:utangulizi
2 Sam. 22:2Zab 31:3
2 Sam. 22:2Zab 18:2, 3
2 Sam. 22:3Kum 32:4; 1 Sa. 2:1, 2
2 Sam. 22:3Mwa 15:1; Kum 33:29; Zab 3:3
2 Sam. 22:3Zab 9:9; Mez. 18:10
2 Sam. 22:3Zab 59:16
2 Sam. 22:3Isa 12:2; Lu 1:46, 47; Tit 3:4
2 Sam. 22:5Zab 69:14
2 Sam. 22:5Zab 18:4
2 Sam. 22:6Zab 116:3, 4
2 Sam. 22:6Zab 18:5
2 Sam. 22:7Zab 142:1; Yon 2:2
2 Sam. 22:7Kut 3:7; Zab 18:6; 34:15
2 Sam. 22:8Amu 5:4
2 Sam. 22:8Yob 26:11
2 Sam. 22:8Zab 18:7-12; 77:18
2 Sam. 22:9Isa 30:27
2 Sam. 22:10Zab 144:5; Isa 64:1
2 Sam. 22:10Kum 4:11; 1 Fal. 8:12; Zab 18:9; 97:2
2 Sam. 22:111 Sa. 4:4; Zab 80:1; 99:1
2 Sam. 22:11Ebr 1:7
2 Sam. 22:12Yob 36:29
2 Sam. 22:14Kut 19:16; 1 Sa. 2:10
2 Sam. 22:14Zab 18:13-16; Isa 30:30
2 Sam. 22:15Zab 7:13; 77:17
2 Sam. 22:15Zab 144:6
2 Sam. 22:16Kut 14:21; Zab 106:9; 114:3
2 Sam. 22:16Kut 15:8
2 Sam. 22:17Zab 18:16-19; 124:2-4; 144:7
2 Sam. 22:18Zab 3:7; 56:9
2 Sam. 22:191 Sa. 19:11; 23:26; 2 Sa. 15:10
2 Sam. 22:20Zab 31:8
2 Sam. 22:20Zab 149:4
2 Sam. 22:211 Sa. 26:23; 1 Fal. 8:32
2 Sam. 22:21Zab 18:20-24; 24:3, 4
2 Sam. 22:23Kum 6:1; Zab 19:9
2 Sam. 22:23Kum 8:11
2 Sam. 22:24Zab 84:11
2 Sam. 22:24Zab 18:23; Mez. 14:16
2 Sam. 22:25Yob 34:11; Isa 3:10; Ebr 11:6
2 Sam. 22:25Zab 18:24; Mez. 5:21
2 Sam. 22:26Zab 37:28; 97:10
2 Sam. 22:26Zab 18:25-30
2 Sam. 22:27Mt 5:8; 1 Pe. 1:16
2 Sam. 22:27Zab 125:5
2 Sam. 22:28Yob 34:28
2 Sam. 22:28Da. 4:37; 1 Pe. 5:5
2 Sam. 22:29Zab 27:1
2 Sam. 22:29Zab 97:11
2 Sam. 22:30Zab 18:29; Flp 4:13; Ebr 11:33, 34
2 Sam. 22:31Kum 32:4
2 Sam. 22:31Zab 12:6; Mez. 30:5
2 Sam. 22:31Zab 35:2; 91:4
2 Sam. 22:32Isa 44:6
2 Sam. 22:32Kum 32:31; Zab 18:31-42
2 Sam. 22:33Zab 27:1; Isa 12:2
2 Sam. 22:33Isa 26:7
2 Sam. 22:34Isa 33:15, 16; Hab 3:19
2 Sam. 22:36Zab 18:35; 113:6-8
2 Sam. 22:37Zab 17:5
2 Sam. 22:39Kut 14:13
2 Sam. 22:401 Sa. 23:5
2 Sam. 22:401 Sa. 17:49; Zab 44:3, 5
2 Sam. 22:41Mwa 49:8
2 Sam. 22:41Zab 18:40
2 Sam. 22:421 Sa. 28:6; Mez. 1:28; Isa 1:15; Mik 3:4
2 Sam. 22:441 Sa. 30:6; 2 Sa. 15:12
2 Sam. 22:442 Sa. 8:3; Zab 2:8; 60:8
2 Sam. 22:44Zab 18:43-45
2 Sam. 22:45Kum 33:29
2 Sam. 22:47Kum 32:4
2 Sam. 22:47Zab 18:46; 89:26
2 Sam. 22:481 Sa. 25:29; 2 Sa. 18:19
2 Sam. 22:48Zab 18:47; 110:1; 144:1, 2
2 Sam. 22:492 Sa. 5:12; 7:9
2 Sam. 22:49Zab 18:48
2 Sam. 22:50Kum 32:43; Zab 117:1
2 Sam. 22:501Nya 16:9; Zab 145:2; Rom. 15:9
2 Sam. 22:51Zab 2:6; 21:1
2 Sam. 22:51Zab 89:20, 29; Lu 1:32, 33
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 22:1-51

Cha Pili cha Samweli

22 Na Daudi akamuambia Yehova maneno ya wimbo huu+ siku yenye Yehova alimuokoa katika mukono wa maadui wake wote+ na katika mukono wa Sauli.+ 2 Akasema:

“Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu+ na Ule mwenye ananiokoa.+

 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ mwenye ninakimbilia,

Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+

Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe mwenye unaniokoa katika jeuri.

 4 Ninamuitia Yehova, mwenye anastahili kusifiwa,

Na nitaokolewa kutoka kwa maadui wangu.

 5 Mawimbi ya kifo yalinizunguka pande zote;+

Mafuriko ya kushitukia ya watu wenye hawana mafaa yoyote yaliniogopesha sana.+

 6 Kamba za Kaburi* zilinizunguka;+

Mitego ya kifo ilikuwa mbele yangu.+

 7 Katika taabu yangu nilimuitia Yehova,+

Niliendelea kumuita Mungu wangu.

Kisha akiwa katika hekalu lake akasikia sauti yangu,

Na kilio changu cha kuomba musaada kikafika katika masikio yake.+

 8 Dunia ikaanza kutetemeka na kutikisika huku na huku;+

Misingi ya mbingu ikatetemeka+

Na kutikisika huku na huku kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+

 9 Moshi ulipanda kutoka katika matundu ya pua yake,

Na moto wenye kuteketeza ukatoka katika kinywa chake;+

Makaa yenye kuwaka yakatoka kwake.

10 Alifanya mbingu zikunjame wakati alikuwa anashuka,+

Na giza nzito lilikuwa chini ya miguu yake.+

11 Alipanda juu ya kerubi+ na akakuja akiruka.

Alionekana juu ya mabawa ya roho.*+

12 Kisha akatia giza kumuzunguka kama kibanda,+

Katika maji yenye giza na mawingu mazito.

13 Kutoka katika mwangaza wenye kuwa mbele yake makaa yenye moto yaliwaka.

14 Kisha Yehova akaanza kunguruma akiwa mbinguni;+

Mwenye Kuwa Juu Zaidi akafanya sauti yake isikike.+

15 Akapiga mishale yake+ na kuwasambaza;

Umeme wa radi, na kuwatia katika muvurugo.+

16 Sehemu ya chini ya bahari ikaonekana;+

Misingi ya inchi ikafunuliwa kwa kemeo la Yehova,

Kwa mulipuko wa pumuzi kutoka katika matundu ya pua yake.+

17 Akiwa juu, alininyooshea mukono;

Akanishika na kunikokota kutoka katika maji yenye kuenda chini sana.+

18 Aliniokoa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+

Kutoka kwa wale wenye kunichukia, wenye walikuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

19 Walinishambulia katika siku ya musiba wangu,+

Lakini Yehova alikuwa tegemeo langu.

20 Alinipeleka inje na kunitia mahali kwenye usalama;*+

Aliniokoa kwa sababu alipendezwa na mimi.+

21 Yehova ananipatia zawabu kulingana na haki yangu;+

Ananilipa kulingana na kutokuwa na hatia kwa* mikono yangu.+

22 Kwa maana nimeshika njia za Yehova,

Na sijamuacha kwa uovu Mungu wangu.

23 Hukumu zake zote+ ziko mbele yangu;

Sitageuka pembeni kuacha sheria zake.+

24 Nitabakia bila lawama+ mbele yake,

Na nitajiepusha na kosa.+

25 Yehova anilipe kulingana na haki yangu,+

Kulingana na kutokuwa kwangu na hatia mbele yake.+

26 Kwa mutu mushikamanifu unatenda kwa ushikamanifu;+

Kwa mutu mwenye hana lawama, mwenye nguvu, unatenda bila lawama;+

27 Kwa mwenye kuwa safi unajionyesha kuwa safi,+

Lakini kwa mwenye kupotoka unajionyesha kuwa mwenye busara.*+

28 Kwa maana unaokoa wanyenyekevu,+

Lakini macho yako yanachukia wenye majivuno, na unawashusha.+

29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Ee Yehova;+

Yehova ndiye anafanya giza langu liangaze.+

30 Kwa musaada wako ninaweza kushambulia kikundi cha wanyanganyi;

Kwa nguvu za Mungu ninaweza kupanda ukuta.+

31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+

Neno la Yehova ni lenye kusafishwa.+

Yeye ni ngao kwa wote wenye kumukimbilia.+

32 Kwa maana ni nani iko* Mungu isipokuwa Yehova?+

Na ni nani iko* mwamba isipokuwa Mungu wetu?+

33 Mungu wa kweli ndiye ngome yangu yenye nguvu,+

Na atafanya njia yangu ikuwe kamilifu.+

34 Anafanya miguu yangu ikuwe kama ya paa;

Ananifanya nisimame mahali pa juu.+

35 Anazoeza mikono yangu kwa ajili ya vita;

Mikono yangu inaweza kukunja upinde wa shaba.

36 Unanipatia ngao yako ya wokovu,

Na unyenyekevu wako unanifanya nikuwe mukubwa.+

37 Unapanua njia kwa ajili ya hatua zangu;

Miguu yangu haitatereza.*+

38 Nitafuatilia maadui wangu na kuwaharibu;

Sitarudia mupaka wakati watakuwa wamefutwa.

39 Na nitawafuta na kuwaponda-ponda, na hivyo hawatasimama;+

Wataanguka chini ya miguu yangu.

40 Utanipatia nguvu kwa ajili ya vita;+

Utafanya maadui wangu waanguke chini yangu.+

41 Utafanya maadui wangu wanikimbie;*+

Nitamaliza* wale wenye kunichukia.+

42 Wanalilia musaada, lakini hakuna mutu wa kuwaokoa;

Hata wanamulilia Yehova, lakini yeye hawajibu.+

43 Nitawatwanga ili wakuwe laini kama mavumbi ya dunia;

Nitawaponda-ponda na kuwakanyanga-kanyanga kama matope katika barabara.

44 Utaniokoa kutokana na tabia ya watu wangu ya kutafuta-tafuta makosa.+

Utanilinda ili nikuwe kichwa cha mataifa;+

Watu wenye sikujua watanitumikia.+

45 Wageni watakuja wakijikunja kwa woga mbele yangu;+

Mambo yenye watasikia kunihusu yatawafanya wanitii.*

46 Wageni watakosa uhodari;*

Watakuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.

47 Yehova ni mwenye kuishi! Mwamba wangu asifiwe!+

Mungu wa mwamba wa wokovu wangu atukuzwe.+

48 Mungu wa kweli ananilipizia kisasi;+

Anatiisha vikundi vya watu chini yangu;+

49 Ananiokoa kutoka kwa maadui wangu.

Unaniinua+ juu ya wale wenye kunishambulia;

Unaniokoa kutokana na mutu mwenye jeuri.+

50 Ndiyo sababu nitakushukuru, Ee Yehova, kati ya mataifa,+

Na nitaimbia jina lako sifa:*+

51 Anatenda matendo makubwa ya wokovu* kwa ajili ya mufalme wake;+

Anamuonyesha mutiwa-mafuta wake upendo mushikamanifu,

Kwa Daudi na uzao wake* milele.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine