Zaburi 40:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Tafazali, Ee Yehova, ukuwe tayari kuniokoa.+ Ee Yehova, fanya haraka ili unisaidie.+ Zaburi 70:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Lakini mimi sina uwezo na niko maskini;+Ee Mungu, tenda haraka kwa ajili yangu.+ Wewe ni musaidizi wangu na mwokozi wangu.+ Ee Yehova, usikawie.+
5 Lakini mimi sina uwezo na niko maskini;+Ee Mungu, tenda haraka kwa ajili yangu.+ Wewe ni musaidizi wangu na mwokozi wangu.+ Ee Yehova, usikawie.+