Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Katika taabu yangu nilimuitia Yehova,

      Niliendelea kumulilia Mungu wangu anisaidie.

      Akiwa katika hekalu lake akasikia sauti yangu,+

      Na kilio changu cha kumuomba musaada kikafika katika masikio yake.+

  • Yona 2:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Wakati uzima wangu ulikuwa unakaribia* mwisho, Yehova Ndiye nilikumbuka.+

      Halafu sala yangu ilikufikia, ndani ya hekalu lako takatifu.+

  • Matayo 26:38, 39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Kisha akawaambia: “Nimehuzunika* sana, kiasi cha kufa. Mukae hapa na muendelee kukesha pamoja na mimi.”+ 39 Na akaenda mbele kidogo, akapiga magoti na akainama mupaka chini, na kusali:+ “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki+ kipite mbali na mimi. Hata hivyo, hapana kama vile mimi ninapenda, lakini kama vile wewe unapenda.”+

  • Marko 15:34
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 Na saa ya kenda (9), Yesu akaita kwa sauti kubwa: “Eli, Eli, lama sabaktani?” maneno yenye wakati yanatafsiriwa yanamaanisha: “Mungu wangu, Mungu wangu, sababu gani umeniacha?”+

  • Waebrania 5:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Wakati wa maisha yake katika dunia,* Kristo alitoa sala za kumulilia Mungu* na pia maombi, kwa vilio vyenye nguvu na machozi,+ kwa Ule mwenye alikuwa na uwezo wa kumuokoa kutoka katika kifo, na akasikiwa muzuri kwa sababu alimuogopa Mungu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine