-
Zaburi 18:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Katika taabu yangu nilimuitia Yehova,
Niliendelea kumulilia Mungu wangu anisaidie.
-
-
Matayo 26:38, 39Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
38 Kisha akawaambia: “Nimehuzunika* sana, kiasi cha kufa. Mukae hapa na muendelee kukesha pamoja na mimi.”+ 39 Na akaenda mbele kidogo, akapiga magoti na akainama mupaka chini, na kusali:+ “Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki+ kipite mbali na mimi. Hata hivyo, hapana kama vile mimi ninapenda, lakini kama vile wewe unapenda.”+
-