Zaburi 142:2, 3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Mbele yake ninamwanga mahangaiko yangu;Mbele yake ninaeleza taabu yangu+ 3 Wakati roho yangu inazimia ndani yangu.* Kisha unaangalia barabara yangu.+ Katika njia kwenye ninatembea,Wanaficha mutego wa kuninasa. Zaburi 143:4, 5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Roho yangu inazimia;*+Moyo wangu umekufa ganzi ndani yangu.+ 5 Ninakumbuka siku za zamani;Ninafikiri sana* juu ya utendaji wako wote;+Ninafikiri kwa bidii juu ya* kazi ya mikono yako.
2 Mbele yake ninamwanga mahangaiko yangu;Mbele yake ninaeleza taabu yangu+ 3 Wakati roho yangu inazimia ndani yangu.* Kisha unaangalia barabara yangu.+ Katika njia kwenye ninatembea,Wanaficha mutego wa kuninasa.
4 Roho yangu inazimia;*+Moyo wangu umekufa ganzi ndani yangu.+ 5 Ninakumbuka siku za zamani;Ninafikiri sana* juu ya utendaji wako wote;+Ninafikiri kwa bidii juu ya* kazi ya mikono yako.