47 Yehova ni mwenye kuishi! Mwamba wangu asifiwe!+
Mungu wa mwamba wa wokovu wangu atukuzwe.+
48 Mungu wa kweli ananilipizia kisasi;+
Anatiisha vikundi vya watu chini yangu;+
49 Ananiokoa kutoka kwa maadui wangu.
Unaniinua+ juu ya wale wenye kunishambulia;
Unaniokoa kutokana na mutu mwenye jeuri.+