Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:45, 46
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 45 Daudi akamujibu Mufilisti huyo: “Unakuja kupigana na mimi ukiwa na upanga na mukuki mukubwa na mukuki mudogo,+ lakini mimi nakuja kupigana na wewe katika jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa kikundi cha wapiganaji cha Israeli, mwenye umechokoza.*+ 46 Leo hii Yehova atakutia wewe katika mukono wangu,+ na nitakupiga na kukuua na kukata kichwa chako; na siku ya leo nitapatia ndege wa mbinguni na wanyama wa pori wa dunia maiti za kambi ya Wafilisti; na watu wa dunia yote watajua kwamba kuko Mungu katika Israeli.+

  • 2 Samweli 21:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Vita ikatokea tena kati ya Wafilisti na Israeli.+ Kwa hiyo Daudi na watumishi wake wakashuka na kupigana na Wafilisti, lakini Daudi akachoka.

  • 2 Samweli 21:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Mara moja Abishai+ mwana wa Seruya akakuja kumusaidia+ na akamupiga Mufilisti huyo na kumuua. Wakati huo watu wa Daudi wakamuapia kiapo hiki: “Haupaswe tena kuenda katika vita pamoja na sisi!+ Haupaswe kuzima taa ya Israeli!”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine