-
1 Samweli 17:45, 46Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
45 Daudi akamujibu Mufilisti huyo: “Unakuja kupigana na mimi ukiwa na upanga na mukuki mukubwa na mukuki mudogo,+ lakini mimi nakuja kupigana na wewe katika jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa kikundi cha wapiganaji cha Israeli, mwenye umechokoza.*+ 46 Leo hii Yehova atakutia wewe katika mukono wangu,+ na nitakupiga na kukuua na kukata kichwa chako; na siku ya leo nitapatia ndege wa mbinguni na wanyama wa pori wa dunia maiti za kambi ya Wafilisti; na watu wa dunia yote watajua kwamba kuko Mungu katika Israeli.+
-