Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 21
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Wagibeoni wanalipiza kisasi juu ya nyumba ya Sauli (1-14)

      • Vita juu ya Wafilisti (15-22)

2 Samweli 21:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:18, 20
  • +Mwa 9:6; Kut 20:13; Hes 35:30, 33

2 Samweli 21:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 9:3, 27
  • +Mwa 10:15, 16
  • +Yosh. 9:15

2 Samweli 21:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:31

2 Samweli 21:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 21:1

2 Samweli 21:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tutawaanika,” ni kusema, mikono na miguu yao ikiwa imevunjwa-vunjwa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 25:4; Kum 21:22
  • +1 Sa. 10:26
  • +1 Sa. 9:17

2 Samweli 21:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 4:4; 9:10; 19:24
  • +1 Sa. 18:3; 20:42

2 Samweli 21:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Merabu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:7
  • +1 Sa. 18:20; 25:44; 2 Sa. 3:14; 6:23
  • +1 Sa. 18:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2005, uku. 19

2 Samweli 21:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:31; Kum 19:21

2 Samweli 21:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2005, uku. 19

2 Samweli 21:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

2 Samweli 21:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “wenye mashamba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:5
  • +1 Sa. 28:4; 31:1, 11, 12; 2 Sa. 1:6; 1Nya 10:8

2 Samweli 21:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wameanikwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 21:9

2 Samweli 21:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 18:28
  • +1 Sa. 9:1; 10:11
  • +Yosh. 7:24-26; 2 Sa. 24:25

2 Samweli 21:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:17, 22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2013, uku. 30-31

2 Samweli 21:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Karibu kilograme 3.42 (ratili 7.5). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:11
  • +1 Sa. 17:4, 7; 1Nya 11:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2013, uku. 30-31

2 Samweli 21:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:18, 19
  • +2 Sa. 22:19
  • +2 Sa. 18:3
  • +1 Fal. 11:36; 15:4; 2 Fal. 8:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2013, uku. 30-31

2 Samweli 21:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 20:4
  • +1Nya 11:26, 29; 27:1, 11
  • +Mwa 14:5

2 Samweli 21:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 20:5
  • +1 Sa. 17:4, 7

2 Samweli 21:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 20:6-8

2 Samweli 21:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:10, 45; 2 Fal. 19:22
  • +1 Sa. 16:9; 17:13; 1Nya 2:13

2 Samweli 21:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 60:12

Maandiko ingine

2 Sam. 21:1Law. 26:18, 20
2 Sam. 21:1Mwa 9:6; Kut 20:13; Hes 35:30, 33
2 Sam. 21:2Yosh. 9:3, 27
2 Sam. 21:2Mwa 10:15, 16
2 Sam. 21:2Yosh. 9:15
2 Sam. 21:4Hes 35:31
2 Sam. 21:52 Sa. 21:1
2 Sam. 21:6Hes 25:4; Kum 21:22
2 Sam. 21:61 Sa. 10:26
2 Sam. 21:61 Sa. 9:17
2 Sam. 21:72 Sa. 4:4; 9:10; 19:24
2 Sam. 21:71 Sa. 18:3; 20:42
2 Sam. 21:82 Sa. 3:7
2 Sam. 21:81 Sa. 18:20; 25:44; 2 Sa. 3:14; 6:23
2 Sam. 21:81 Sa. 18:19
2 Sam. 21:9Hes 35:31; Kum 19:21
2 Sam. 21:102 Sa. 3:7
2 Sam. 21:122 Sa. 2:5
2 Sam. 21:121 Sa. 28:4; 31:1, 11, 12; 2 Sa. 1:6; 1Nya 10:8
2 Sam. 21:132 Sa. 21:9
2 Sam. 21:14Yosh. 18:28
2 Sam. 21:141 Sa. 9:1; 10:11
2 Sam. 21:14Yosh. 7:24-26; 2 Sa. 24:25
2 Sam. 21:152 Sa. 5:17, 22
2 Sam. 21:16Kum 2:11
2 Sam. 21:161 Sa. 17:4, 7; 1Nya 11:23
2 Sam. 21:172 Sa. 23:18, 19
2 Sam. 21:172 Sa. 22:19
2 Sam. 21:172 Sa. 18:3
2 Sam. 21:171 Fal. 11:36; 15:4; 2 Fal. 8:19
2 Sam. 21:181Nya 20:4
2 Sam. 21:181Nya 11:26, 29; 27:1, 11
2 Sam. 21:18Mwa 14:5
2 Sam. 21:191Nya 20:5
2 Sam. 21:191 Sa. 17:4, 7
2 Sam. 21:201Nya 20:6-8
2 Sam. 21:211 Sa. 17:10, 45; 2 Fal. 19:22
2 Sam. 21:211 Sa. 16:9; 17:13; 1Nya 2:13
2 Sam. 21:22Zab 60:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 21:1-22

Cha Pili cha Samweli

21 Sasa katika siku za Daudi kulikuwa njaa+ kwa miaka tatu (3) yenye kufuatana, kwa hiyo Daudi akamuuliza Yehova, na Yehova akasema: “Kuko hatia ya damu juu ya Sauli na juu ya nyumba yake, kwa sababu aliua Wagibeoni.”+ 2 Kwa hiyo mufalme akaita Wagibeoni+ na kuongea nao. (Lakini, Wagibeoni hawakukuwa Waisraeli ila walikuwa Waamori+ wenye walikuwa wamebakia, na Waisraeli walikuwa wameapa kwamba hawatawaua,+ lakini Sauli alitafuta kuwapiga na kuwaua kwa sababu ya bidii yake kwa ajili ya watu wa Israeli na Yuda.) 3 Daudi akaambia Wagibeoni: “Niwafanyie nini, na namna gani ninaweza kufunika zambi, ili mubariki uriti wa Yehova?” 4 Wagibeoni wakamuambia: “Jambo lenye kuwa kati yetu na Sauli na nyumba yake haiko jambo la feza wala zahabu;+ wala hatuwezi kumuua mutu yeyote katika Israeli.” Basi Daudi akasema: “Nitawafanyia jambo lolote lenye mutasema.” 5 Wakamuambia mufalme: “Mutu mwenye alituangamiza na kufanya mupango wa kutuharibu ili tusiishi mahali popote katika eneo la Israeli+⁠— 6 tupewe wana saba (7) kati ya wana wake. Tutatundika maiti zao*+ mbele ya Yehova katika muji wa Gibea+ wa Sauli, muchaguliwa wa Yehova.”+ Basi mufalme akasema: “Nitawapatia wana hao.”

7 Lakini, mufalme akamusikilia huruma Mefibosheti,+ mwana wa Yonatani mwana wa Sauli, kwa sababu ya kiapo chenye kilifanywa mbele ya Yehova kati ya Daudi na Yonatani,+ mwana wa Sauli. 8 Kwa hiyo mufalme akamuchukua Armoni na Mefibosheti, wana wawili wa Rispa+ binti ya Aya wenye alimuzalia Sauli, na wana tano (5) wa Mikali*+ binti ya Sauli wenye alimuzalia Adrieli+ mwana wa Barzilai, Mumeholati. 9 Kisha Daudi akapatia Wagibeoni wana hao, nao wakatundika maiti zao kwenye mulima mbele ya Yehova.+ Wana wote saba (7) walikufa pamoja; waliuawa siku za kwanza za mavuno, katika mwanzo wa mavuno ya shayiri. 10 Kisha Rispa+ binti ya Aya akakamata nguo ya gunia na kuitandika kwenye mwamba tangu mwanzo wa mavuno mupaka wakati mvua kutoka mbinguni ilinyeshea maiti hizo; hakuruhusu ndege wa mbinguni washuke juu ya maiti hizo wakati wa muchana wala wanyama wa pori wazikaribie wakati wa usiku.

11 Daudi akaambiwa mambo yenye Rispa binti ya Aya suria* wa Sauli alikuwa amefanya. 12 Kwa hiyo Daudi akaenda na kukamata mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonatani mwana wake kutoka kwa viongozi* wa Yabesh-gileadi,+ wenye walikuwa wameiba mifupa hiyo katika kiwanja cha watu wote cha muji wa Bet-shani, kwenye Wafilisti walikuwa wamewatundika siku yenye Wafilisti walimupiga na kumuua Sauli juu ya Gilboa.+ 13 Akapandisha mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonatani mwana wake kutoka kule, na pia wakakusanya mifupa ya watu wenye walikuwa wameuawa.*+ 14 Kisha wakazika mifupa ya Sauli na Yonatani mwana wake katika inchi ya Benyamini kule Sela+ katika kaburi la Kishi+ baba yake. Wakati walimaliza kufanya kila jambo lenye mufalme alikuwa ameamuru, Mungu akasikiliza maombi yao ya kumulilia kwa ajili ya inchi.+

15 Vita ikatokea tena kati ya Wafilisti na Israeli.+ Kwa hiyo Daudi na watumishi wake wakashuka na kupigana na Wafilisti, lakini Daudi akachoka. 16 Muzao wa Refaimu+ mwenye aliitwa Ishbi-benobu, mwenye mukuki wake wa shaba ulikuwa na uzito wa shekeli mia tatu (300)*+ na mwenye alikuwa anabeba upanga mupya, alitaka kumupiga na kumuua Daudi. 17 Mara moja Abishai+ mwana wa Seruya akakuja kumusaidia+ na akamupiga Mufilisti huyo na kumuua. Wakati huo watu wa Daudi wakamuapia kiapo hiki: “Haupaswe tena kuenda katika vita pamoja na sisi!+ Haupaswe kuzima taa ya Israeli!”+

18 Kisha, vita ikatokea tena pamoja na Wafilisti+ katika Gobu. Wakati huo Sibekai+ Muhusha akamupiga na kumuua Safu, mwenye alikuwa muzao wa Refaimu.+

19 Vita ikatokea tena pamoja na Wafilisti+ katika Gobu, na Elhanani mwana wa Yaare-oregimu Mubetlehemu akamupiga na kumuua Goliati Mugati, mwenye mukuki wake ulikuwa na mupini kama muti wa wasukaji wa nguo.+

20 Vita ikatokea tena katika Gati, kwenye kulikuwa mwanaume mwenye alikuwa na ukubwa wa ajabu, alikuwa na vidole sita (6) kwenye kila mukono na vidole sita kwenye kila muguu, vyote pamoja vilikuwa makumi mbili na ine (24); naye pia alikuwa muzao wa Refaimu.+ 21 Akaendelea kuchokoza Israeli.+ Basi Yonatani mwana wa Shimei,+ ndugu ya Daudi, akamupiga na kumuua.

22 Hao ine (4) walikuwa wazao wa Refaimu katika Gati, na walianguka kupitia mukono wa Daudi na kupitia mukono wa watumishi wake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine