Zaburi 150:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Mumusifu kwa sababu ya kazi zake zenye nguvu.+ Mumusifu kwa sababu ya ukubwa wake mwingi sana.+ Waroma 1:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Kwa maana sifa zake zenye hazionekane zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaonekana kupitia vitu vyenye vilifanywa,+ ndiyo, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ na hivyo hawana sababu ya kujitetea. Ufunuo 15:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+
20 Kwa maana sifa zake zenye hazionekane zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaonekana kupitia vitu vyenye vilifanywa,+ ndiyo, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ na hivyo hawana sababu ya kujitetea.
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+