Zaburi
Mumusifu Mungu katika mahali pake patakatifu.+
Mumusifu katika anga la* nguvu zake.+
2 Mumusifu kwa sababu ya kazi zake zenye nguvu.+
Mumusifu kwa sababu ya ukubwa wake mwingi sana.+
3 Mumusifu kwa kupiga baragumu.+
Mumusifu kwa chombo cha kamba na kinubi.+
4 Mumusifu kwa ngoma ya kidogo*+ na kwa dansi ya muzunguko.
Mumusifu kwa kamba+ na filimbi.*+
5 Mumusifu kwa matoazi yenye kulia.
Mumusifu kwa matoazi yenye kugonganishwa.+
6 Kila kitu chenye kupumua—kimusifu Yah.