9 Kwa maana wakati mutamurudilia Yehova, ndugu zenu na wana wenu wataonyeshwa rehema na wale wenye waliwakamata,+ na wataruhusiwa kurudia katika inchi hii,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ni mwenye huruma na rehema,+ na hatageuza uso wake kutoka kwenu kama munarudia kwake.”+