24 ‘Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova, umeanza kumuonyesha mutumishi wako ukubwa wako na mukono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni mungu gani katika mbingu ao juu ya dunia mwenye anatenda matendo yenye nguvu kama wewe?+
11 Ee Yehova, ukubwa ni wako+ na nguvu+ na uzuri na sifa na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiwe mwenye kujiinua mwenyewe ukiwa kichwa juu ya vyote.