6 Hakuna mutu yeyote mwenye kuwa kama wewe, Ee Yehova.+
Wewe ni mukubwa, na jina lako ni kubwa na lenye nguvu.
7 Ni nani mwenye hapaswe kukuogopa, Ee Mufalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa;
Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,
Hakuna mutu yeyote hata kidogo mwenye kuwa kama wewe.+