Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 146
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Tegemea Mungu, hapana wanadamu

        • Mawazo ya mwanadamu yanapotea wakati anakufa (4)

        • Mungu anasimamisha wenye kuinama chini (8)

Zaburi 146:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 19:6
  • +Zab 103:1

Zaburi 146:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nitamupigia Mungu wangu muziki.”

Zaburi 146:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watu wenye vyeo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 62:9; 118:8, 9; Isa 2:22; Yer 17:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2005, uku. 21-22

Zaburi 146:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Pumuzi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 3:19; Zab 104:29; Mhu. 3:20; 12:7
  • +Mhu. 9:5, 10; Isa 38:18

Zaburi 146:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 46:7
  • +Zab 71:5; Yer 17:7

Zaburi 146:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 4:24; Ufu 14:7
  • +Kum 7:9

Zaburi 146:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 107:9; 145:16
  • +Zab 107:14; 142:7

Zaburi 146:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 29:18; 35:5
  • +Zab 145:14; 2 Kor. 7:6

Zaburi 146:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anapotosha njia ya waovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 10:18; Zab 68:5
  • +Zab 145:20

Zaburi 146:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:18; Da. 6:26; Ufu 11:15

Maandiko ingine

Zb. 146:1Ufu 19:6
Zb. 146:1Zab 103:1
Zb. 146:3Zab 62:9; 118:8, 9; Isa 2:22; Yer 17:5
Zb. 146:4Mwa 3:19; Zab 104:29; Mhu. 3:20; 12:7
Zb. 146:4Mhu. 9:5, 10; Isa 38:18
Zb. 146:5Zab 46:7
Zb. 146:5Zab 71:5; Yer 17:7
Zb. 146:6Mdo 4:24; Ufu 14:7
Zb. 146:6Kum 7:9
Zb. 146:7Zab 107:9; 145:16
Zb. 146:7Zab 107:14; 142:7
Zb. 146:8Isa 29:18; 35:5
Zb. 146:8Zab 145:14; 2 Kor. 7:6
Zb. 146:9Kum 10:18; Zab 68:5
Zb. 146:9Zab 145:20
Zb. 146:10Kut 15:18; Da. 6:26; Ufu 11:15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 146:1-10

Zaburi

146 Mumusifu Yah!*+

Nafsi yangu yote imusifu Yehova.+

 2 Nitamusifu Yehova maisha yangu yote.

Nitamuimbia Mungu wangu sifa* wakati wote wenye nitakuwa muzima.

 3 Musitumainie wakubwa*

Wala mwana wa binadamu, mwenye hawezi kuleta wokovu.+

 4 Roho* yake inatoka, anarudia kwenye udongo;+

Siku ileile mawazo yake yanapotea.+

 5 Mwenye furaha ni ule mwenye Mungu wa Yakobo ni musaidizi wake,+

Mwenye anamutumainia Yehova Mungu wake,+

 6 Mutengenezaji wa mbingu na dunia,

Wa bahari, na vyote vyenye kuwa ndani,+

Yeye mwenye kuwa muaminifu sikuzote,+

 7 Yeye mwenye kutenda haki kwa ajili ya wale wenye walipunjwa,

Yeye mwenye kupatia wenye njaa mukate.+

Yehova anaachilia huru wafungwa.+

 8 Yehova anafungua macho ya vipofu;+

Yehova anasimamisha wale wenye kuinama chini;+

Yehova anapenda wenye haki.

 9 Yehova analinda wakaaji wageni;

Anamutegemeza mutoto mwenye hana baba na mujane,+

Lakini anavunja mipango ya waovu.*+

10 Yehova atakuwa Mufalme milele,+

Mungu wako, Ee Sayuni, kizazi kwa kizazi.

Mumusifu Yah!*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine