Zaburi 100:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Mujue* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye alituumba, na sisi tuko mali yake.*+ Tuko watu wake na kondoo wa malisho yake.+ Isaya 54:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 “Kwa maana Mutengenezaji wako Mukubwa+ iko* kama bwana yako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mutakatifu wa Israeli ni Mukombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+
3 Mujue* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye alituumba, na sisi tuko mali yake.*+ Tuko watu wake na kondoo wa malisho yake.+
5 “Kwa maana Mutengenezaji wako Mukubwa+ iko* kama bwana yako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mutakatifu wa Israeli ni Mukombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+