Zaburi 19:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ inarudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ kinamufanya mwenye hana uzoefu akuwe na hekima.+ Zaburi 51:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Unirudishie shangwe ya wokovu wako;+Uchochee ndani yangu utayari wa kukutii.*
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ inarudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ kinamufanya mwenye hana uzoefu akuwe na hekima.+