Zaburi 3:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Siogope makumi ya maelfuWenye wamejipanga kila upande ili kunipinga.+ Zaburi 27:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 27 Yehova ni mwangaza wangu+ na wokovu wangu. Nimuogope nani?+ Yehova ni ngome ya uzima wangu.+ Nimuhofu nani? Isaya 41:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Usiogope, kwa maana niko pamoja na wewe.+ Usihangaike, kwa maana niko Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, ndiyo, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mukono wangu wa kuume wa haki.’
27 Yehova ni mwangaza wangu+ na wokovu wangu. Nimuogope nani?+ Yehova ni ngome ya uzima wangu.+ Nimuhofu nani?
10 Usiogope, kwa maana niko pamoja na wewe.+ Usihangaike, kwa maana niko Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, ndiyo, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mukono wangu wa kuume wa haki.’