Kutoka 34:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+ Isaya 55:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Mutege sikio na mukuje kwangu.+ Musikilize, na mutaendelea* kuishi,Na bila kusita nitafanya agano la milele pamoja na ninyi+Kulingana na maonyesho ya upendo mushikamanifu kwa Daudi, yenye ni ya uaminifu.*+
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+
3 Mutege sikio na mukuje kwangu.+ Musikilize, na mutaendelea* kuishi,Na bila kusita nitafanya agano la milele pamoja na ninyi+Kulingana na maonyesho ya upendo mushikamanifu kwa Daudi, yenye ni ya uaminifu.*+