Kutoka 33:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Lakini akasema: “Nitapitisha wema wangu wote mbele ya uso wako, na nitatangaza jina la Yehova mbele yako;+ na nitamuonyesha wema ule mwenye ninaonyesha wema, na nitamuonyesha rehema ule mwenye ninataka kumuonyesha rehema.”+ Zaburi 27:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Ningekuwa wapi kama singekuwa na imaniKwamba nitaona wema wa Yehova katika inchi ya wazima?*+
19 Lakini akasema: “Nitapitisha wema wangu wote mbele ya uso wako, na nitatangaza jina la Yehova mbele yako;+ na nitamuonyesha wema ule mwenye ninaonyesha wema, na nitamuonyesha rehema ule mwenye ninataka kumuonyesha rehema.”+