Zaburi 119:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 Unifundishe, Ee Yehova,+ njia ya masharti yako,Na nitaifuata mupaka mwisho.+ Isaya 30:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Hata kama Yehova atawapatia ninyi mukate kwa namna ya taabu na maji kwa namna ya ukandamizaji,+ Mufundishaji wako Mukubwa hatajificha tena, na utamuona Mufundishaji wako Mukubwa+ kwa macho yako mwenyewe. Mika 4:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Na mataifa mengi yataenda na kusema: “Mukuje, tupande kwenye mulima wa YehovaNa kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+ Atatufundisha njia zake,Na tutatembea katika njia zake.” Kwa maana sheria itatoka* Sayuni,Na neno la Yehova litatoka Yerusalemu.
20 Hata kama Yehova atawapatia ninyi mukate kwa namna ya taabu na maji kwa namna ya ukandamizaji,+ Mufundishaji wako Mukubwa hatajificha tena, na utamuona Mufundishaji wako Mukubwa+ kwa macho yako mwenyewe.
2 Na mataifa mengi yataenda na kusema: “Mukuje, tupande kwenye mulima wa YehovaNa kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+ Atatufundisha njia zake,Na tutatembea katika njia zake.” Kwa maana sheria itatoka* Sayuni,Na neno la Yehova litatoka Yerusalemu.