Zaburi 50:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Ule mwenye anatoa shukrani kuwa zabihu yake ananitukuza,+Na kuhusu ule mwenye anafuata njia yenye iliwekwa,Nitamufanya aone wokovu wa Mungu.”+ Zaburi 95:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Tuingie mbele yake* tukiwa na shukrani;+Tuimbe na kumupigia vigelegele vya ushindi.
23 Ule mwenye anatoa shukrani kuwa zabihu yake ananitukuza,+Na kuhusu ule mwenye anafuata njia yenye iliwekwa,Nitamufanya aone wokovu wa Mungu.”+