Zaburi 25:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Hakika hakuna mutu yeyote mwenye kukutumainia mwenye atapatishwa haya,+Lakini haya inangojea wale wenye kutenda kwa udanganyifu bila sababu.+ Zaburi 62:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa kweli, ninamungojea Mungu kimya-kimya*+Kwa sababu tumaini langu linatoka kwake.+
3 Hakika hakuna mutu yeyote mwenye kukutumainia mwenye atapatishwa haya,+Lakini haya inangojea wale wenye kutenda kwa udanganyifu bila sababu.+