17 Kila zawadi ya muzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu,+ inashuka kutoka kwa Baba wa miangaza ya mbinguni,+ mwenye habadilike ao kugeuka kama kivuli chenye kugeuka-geuka.*+
9 Lakini ninyi ni “watu wenye walichaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wenye wanapaswa kuwa mali ya pekee,+ ili mutangaze kotekote sifa za muzuri zaidi”*+ za Ule mwenye aliwaita kutoka katika giza kuingia katika mwangaza wake wa ajabu.+