Zaburi 55:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Umutupie Yehova muzigo wako,+Naye atakutegemeza.+ Hataruhusu hata kidogo mwenye haki aanguke.*+ Mezali 16:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Tia kila jambo lenye unafanya katika mukono wa Yehova,*+Na mipango yako itafanikiwa.