Zaburi 37:23, 24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Yehova anaongoza* hatua za mutu+Wakati Yeye anafurahia njia ya mutu huyo.+ 24 Hata kama anaanguka, hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anamutegemeza kwa kumushika mukono.*+ Zaburi 62:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Kwa kweli, yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kimbilio langu salama;*+Sitatikiswa sana hata kidogo.+ Zaburi 121:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Hataruhusu hata kidogo muguu wako utereze.*+ Yeye mwenye kukulinda hatasinzia hata kidogo.
23 Yehova anaongoza* hatua za mutu+Wakati Yeye anafurahia njia ya mutu huyo.+ 24 Hata kama anaanguka, hatatupwa chini,+Kwa maana Yehova anamutegemeza kwa kumushika mukono.*+
2 Kwa kweli, yeye ni mwamba wangu na wokovu wangu, kimbilio langu salama;*+Sitatikiswa sana hata kidogo.+