-
1 Samweli 25:39Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
39 Wakati Daudi alisikia kwamba Nabali amekufa, akasema: “Asifiwe Yehova, mwenye ametetea kesi yangu ya hukumu+ kisha kupatishwa haya na Nabali,+ na amezuia mutumishi wake asitende jambo lolote la mubaya,+ na Yehova amerudisha ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe!” Kisha Daudi akatuma ujumbe wa kuomba Abigaili akuwe bibi yake.
-
-
Zaburi 52:4, 5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Unapenda kila neno lenye kuumiza,
Ee ulimi mudanganyifu!
-