8 Ondolea mbali na mimi mambo yenye hayako ya kweli na ya uongo.+
Usinipatie umaskini wala utajiri.
Acha tu nikule fungu langu la chakula,+
9 Ili nisishibe na kukukana na kusema, “Yehova ni nani?”+
Wala usiruhusu nikuwe maskini, niibe na kuletea haya jina la Mungu wangu.