Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kwa maana maskini atakuwa sikuzote katika inchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, ‘Unapaswa kumufungulia mukono wako kwa ukarimu ndugu yako mwenye kuteseka na maskini katika inchi yako.’+

  • Yobu 31:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Kama nilikataa kupatia maskini kile walitamani+

      Ao kuhuzunisha macho ya mwanamuke mujane;*+

  • Yobu 31:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Basi acha mukono wangu uanguke kutoka kwenye bega langu,

      Na acha mukono wangu uvunjike kwenye kiko* chake.

  • Zaburi 112:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Amegawa kwa wingi;* amepatia maskini.+

      צ [Tsade]

      Haki yake inadumu milele.+

      ק [Qoph]

      Nguvu zake mwenyewe zitainuliwa* kwa utukufu.

  • Mezali 19:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Mwenye anaonyesha mutu wa hali ya chini wema anamukopesha Yehova,+

      Na Yeye atamulipa* kwa sababu ya mambo yenye anatenda.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine