Zaburi 94:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Kwa maana Yehova hataacha watu wake,+Wala kutupa uriti wake.+ Matayo 6:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 “Basi, muendelee kutafuta kwanza Ufalme na haki yake, na mutaongezewa vitu hivyo vingine vyote.+ Waebrania 13:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Njia yenu ya maisha ikuwe bila upendo wa feza,+ wakati munatosheka na vitu vya sasa.+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha hata kidogo, na sitakutupa hata kidogo.”+
5 Njia yenu ya maisha ikuwe bila upendo wa feza,+ wakati munatosheka na vitu vya sasa.+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha hata kidogo, na sitakutupa hata kidogo.”+