1 Samweli 12:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kwa ajili ya jina lake kubwa,+ Yehova hataacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ Zaburi 37:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Na hataacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataharibiwa.+ Waebrania 13:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Njia yenu ya maisha ikuwe bila upendo wa feza,+ wakati munatosheka na vitu vya sasa.+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha hata kidogo, na sitakutupa hata kidogo.”+
22 Kwa ajili ya jina lake kubwa,+ Yehova hataacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Na hataacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataharibiwa.+
5 Njia yenu ya maisha ikuwe bila upendo wa feza,+ wakati munatosheka na vitu vya sasa.+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha hata kidogo, na sitakutupa hata kidogo.”+