19 “Wakati unavuna mavuno yako katika shamba lako na unasahau fungu la mbegu katika shamba, usirudie ili kulikamata. Litaachwa kwa ajili ya mukaaji mugeni, mutoto mwenye hana baba, na mujane,+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika mambo yote yenye unafanya.+