-
Kumbukumbu la Torati 15:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 “Kama mumoja wa ndugu zako anakuwa maskini kati yako katika muji mumoja kati ya miji ya inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia, usifanye moyo wako kuwa mugumu ao kumufungia mukono ndugu yako maskini.+ 8 Kwa maana unapaswa kumufungulia mukono wako kwa ukarimu+ na usikose kumukopesha* chochote chenye anahitaji ao chenye anakosa.
-