Zaburi 34:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Geuka na uache mambo ya mubaya na utende mambo ya muzuri;+Tafuta amani na uifuatie.+ Isaya 1:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Mujifunze kutenda mema, mutafute haki,+Murekebishe mukandamizaji,Mutetee haki za mutoto mwenye hana baba,*Na mutetee mashitaka ya mujane.”+
17 Mujifunze kutenda mema, mutafute haki,+Murekebishe mukandamizaji,Mutetee haki za mutoto mwenye hana baba,*Na mutetee mashitaka ya mujane.”+