Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 kwa kumupenda Yehova Mungu wako,+ kwa kusikiliza sauti yake, na kushikamana naye,+ kwa maana yeye ni uzima wako na kwa uwezo wake utafanya wakati murefu katika inchi yenye Yehova aliapa kwamba atapatia mababu zako Abrahamu, Isaka, na Yakobo.”+

  • Zaburi 37:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Kwa maana waovu wataharibiwa,+

      Lakini wale wenye kumutumainia Yehova watariti dunia.+

  • Mezali 2:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Kwa maana ni watu wenye kufanya mambo yenye kunyooka tu ndio watakaa katika dunia,

      Na wenye hawana lawama* ndio watabakia ndani yake.+

  • Matayo 5:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 “Wenye furaha ni wale wenye tabia ya upole,+ kwa sababu watariti dunia.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine