Kumbukumbu la Torati 30:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 kwa kumupenda Yehova Mungu wako,+ kwa kusikiliza sauti yake, na kushikamana naye,+ kwa maana yeye ni uzima wako na kwa uwezo wake utafanya wakati murefu katika inchi yenye Yehova aliapa kwamba atapatia mababu zako Abrahamu, Isaka, na Yakobo.”+ Zaburi 37:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Kwa maana waovu wataharibiwa,+Lakini wale wenye kumutumainia Yehova watariti dunia.+ Mezali 2:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Kwa maana ni watu wenye kufanya mambo yenye kunyooka tu ndio watakaa katika dunia,Na wenye hawana lawama* ndio watabakia ndani yake.+ Matayo 5:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 “Wenye furaha ni wale wenye tabia ya upole,+ kwa sababu watariti dunia.+
20 kwa kumupenda Yehova Mungu wako,+ kwa kusikiliza sauti yake, na kushikamana naye,+ kwa maana yeye ni uzima wako na kwa uwezo wake utafanya wakati murefu katika inchi yenye Yehova aliapa kwamba atapatia mababu zako Abrahamu, Isaka, na Yakobo.”+
21 Kwa maana ni watu wenye kufanya mambo yenye kunyooka tu ndio watakaa katika dunia,Na wenye hawana lawama* ndio watabakia ndani yake.+