Zaburi 25:12, 13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Ni nani mwenye kumuogopa Yehova?+ Atamufundisha kuhusu njia yenye anapaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* mambo ya muzuri,+Na wazao wake watariti* dunia.+ Zaburi 37:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Wenye haki watariti dunia,+Na wataishi milele juu yake.+ Matayo 5:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 “Wenye furaha ni wale wenye tabia ya upole,+ kwa sababu watariti dunia.+ 2 Petro 2:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Kwa hiyo basi, Yehova* anajua namna ya kukomboa kutoka katika jaribu watu wenye ushikamanifu kwa Mungu,+ lakini kufanya watu wenye hawako wenye haki wangojee kuharibiwa katika siku ya hukumu,+
12 Ni nani mwenye kumuogopa Yehova?+ Atamufundisha kuhusu njia yenye anapaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* mambo ya muzuri,+Na wazao wake watariti* dunia.+
9 Kwa hiyo basi, Yehova* anajua namna ya kukomboa kutoka katika jaribu watu wenye ushikamanifu kwa Mungu,+ lakini kufanya watu wenye hawako wenye haki wangojee kuharibiwa katika siku ya hukumu,+