Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Ni nani mwenye kumuogopa Yehova?+

      Atamufundisha kuhusu njia yenye anapaswa kuchagua.+

      נ [Nun]

      13 Atajionea* mambo ya muzuri,+

      Na wazao wake watariti* dunia.+

  • Zaburi 37:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Wenye haki watariti dunia,+

      Na wataishi milele juu yake.+

  • Matayo 5:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 “Wenye furaha ni wale wenye tabia ya upole,+ kwa sababu watariti dunia.+

  • 2 Petro 2:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Kwa hiyo basi, Yehova* anajua namna ya kukomboa kutoka katika jaribu watu wenye ushikamanifu kwa Mungu,+ lakini kufanya watu wenye hawako wenye haki wangojee kuharibiwa katika siku ya hukumu,+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine