13 Hakuna jaribu lenye limewapata ninyi isipokuwa lile lenye kuwa la kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni muaminifu, na hatawaacha ninyi mujaribiwe kupita vile munaweza kuvumilia,+ lakini pamoja na jaribu hilo atafanya pia njia ya kutokea ili muweze kulivumilia.+