-
Zaburi 69:30, 31Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 Nitaimbia jina la Mungu sifa,
Na nitamutukuza kwa kutoa shukrani.
-
-
Mezali 21:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Kufanya mambo yenye kuwa sawa na ya haki
Kunamupendeza Yehova zaidi kuliko zabihu.+
-