Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 ‘Yehova, hakasirike haraka na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu,*+ mwenye kusamehe kosa na uovu, lakini hatakosa hata kidogo kupatia azabu wenye kosa, mwenye kuleta azabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la baba zao, juu ya kizazi cha tatu (3) na juu ya kizazi cha ine (4).’+

  • Zaburi 25:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Usikumbuke zambi zenye nilifanya wakati nilikuwa kijana na makosa yangu.

      Unikumbuke kulingana na upendo wako mushikamanifu,+

      Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+

  • Zaburi 41:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Kwa maana nilisema: “Ee Yehova, unionyeshe wema.+

      Uniponyeshe,*+ kwa maana nimekutendea zambi.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine