Zaburi 103:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Kama vile baba anaonyesha wana wake rehema,Ni vile Yehova ameonyesha rehema wale wenye kumuogopa.+ Mezali 28:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Mwenye anafunika makosa yake hatafanikiwa,+Lakini kila mutu mwenye anayaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+ Isaya 43:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Mimi, mimi Ndiye ninafuta makosa yako*+ kwa ajili yangu mwenyewe,+Na sitakumbuka zambi zako.+ Isaya 44:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Nitafuta makosa yako kama kwa wingu+Na zambi zako kama kwa wingu nzito. Rudia kwangu, kwa maana nitakukomboa.+
13 Kama vile baba anaonyesha wana wake rehema,Ni vile Yehova ameonyesha rehema wale wenye kumuogopa.+
13 Mwenye anafunika makosa yake hatafanikiwa,+Lakini kila mutu mwenye anayaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+
22 Nitafuta makosa yako kama kwa wingu+Na zambi zako kama kwa wingu nzito. Rudia kwangu, kwa maana nitakukomboa.+