Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Lakini Yehova akamuambia Samweli: “Usiangalie sura yake wala urefu wake,+ kwa sababu nimemukataa. Kwa maana Mungu haone kama vile mwanadamu anaona, kwa sababu mwanadamu bure anaona kile chenye kinaonekana kwa macho, lakini Yehova anaona ndani ya moyo.”+

  • 2 Wafalme 20:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 “Ninakuomba, Ee Yehova, kumbuka, tafazali, namna nimetembea mbele yako kwa uaminifu na kwa moyo kamili, na nimetenda mambo ya muzuri mbele ya macho yako.”+ Na Hezekia akaanza kulia sana.

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Ninajua muzuri, Ee Mungu wangu, kwamba wewe unachunguza moyo,+ na kwamba unapendezwa na uaminifu-mushikamanifu.*+ Katika unyoofu wa moyo wangu, nimetoa vitu hivi vyote kwa kujipendea, na ninafurahi sana kuona watu wako wenye kuwa hapa wakikutolea matoleo ya kujipendea.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine