1 Samweli 25:32, 33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 32 Basi Daudi akamuambia Abigaili: “Asifiwe Yehova Mungu wa Israeli, mwenye alikutuma leo ili ukutane na mimi! 33 Akili yako ya muzuri ibarikiwe! Ubarikiwe kwa kunizuia leo nisikuwe na hatia ya damu+ na nisilipize kisasi* kwa mikono yangu mwenyewe. Mezali 24:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Utapigana vita yako kwa ufundi wa kuongoza,*+Na kupitia washauri wengi kuko ushindi.*+
32 Basi Daudi akamuambia Abigaili: “Asifiwe Yehova Mungu wa Israeli, mwenye alikutuma leo ili ukutane na mimi! 33 Akili yako ya muzuri ibarikiwe! Ubarikiwe kwa kunizuia leo nisikuwe na hatia ya damu+ na nisilipize kisasi* kwa mikono yangu mwenyewe.