Mambo ya Walawi 19:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 “‘Kila mumoja wenu anapaswa kumuheshimia* mama yake na baba yake,+ na munapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mezali 31:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Anafungua kinywa chake kwa hekima;+Sheria ya fazili iko* kwenye ulimi wake. 2 Timoteo 1:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa maana ninakumbuka imani yako yenye haina unafiki,+ yenye ilikaa kwanza ndani ya tate* yako mwanamuke Loisi na mama yako Eunike, lakini yenye niko hakika iko ndani yako pia.
3 “‘Kila mumoja wenu anapaswa kumuheshimia* mama yake na baba yake,+ na munapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
5 Kwa maana ninakumbuka imani yako yenye haina unafiki,+ yenye ilikaa kwanza ndani ya tate* yako mwanamuke Loisi na mama yako Eunike, lakini yenye niko hakika iko ndani yako pia.