Mezali 4:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Pata hekima, pata uelewaji.+ Usisahau, na usigeuke na kuacha mambo yenye ninasema. Mezali 13:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Mwenye anatembea na wenye hekima atakuwa na hekima,+Lakini mwenye kufanya urafiki na wajinga ataumia.+
20 Mwenye anatembea na wenye hekima atakuwa na hekima,+Lakini mwenye kufanya urafiki na wajinga ataumia.+