Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mezali 2:18, 19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kwa maana nyumba yake inazama katika kifo,

      Na njia zake* zinaongoza kwa wale wenye hawana uwezo katika kifo.+

      19 Kati ya wale wenye kulala naye,* hakuna mutu yeyote mwenye atarudia,

      Wala hawatarudia kwenye njia za uzima.+

  • Mezali 7:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Mupaka wakati mushale unatoboa maini yake;

      Kama ndege mwenye anakimbia kuingia katika mutego, hajue kwamba hilo litamufanya apoteze uzima wake.*+

  • Mezali 7:26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 26 Kwa maana amefanya wengi waanguke wakiwa wameuawa,+

      Na wale wenye ameua ni wengi sana.+

  • Mezali 23:27, 28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Kwa maana kahaba ni shimo la murefu,

      Na mwanamuke mwasherati* ni kisima chembamba.+

      28 Anavizia kama munyanganyi;+

      Anaongeza hesabu ya wanaume wenye hawako waaminifu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine