Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mezali 5:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Kwa maana midomo ya mwanamuke mwenye kupotoka* inaangusha matone-matone kama sega la asali,+

      Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta.+

  • Mezali 5:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Miguu yake inashuka kwenye kifo.

      Hatua zake zinaongoza moja kwa moja katika Kaburi.*

  • Mezali 5:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Basi mwana wangu, sababu gani uvutiwe sana na mwanamuke mwenye kupotoka*

      Ao kukumbatia kifua cha mwanamuke mwasherati?*+

  • Mezali 5:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Atakufa kwa sababu ya kukosa nizamu

      Na kupotea njia kwa sababu ya upumbavu wake wenye kupita kiasi.

  • Mezali 9:16-18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 “Mutu yeyote mwenye hana uzoefu, aingie humu.”

      Anaambia wale wenye hawana akili ya muzuri:*+

      17 “Maji yenye yaliibwa ni matamu,

      Na chakula chenye kukuliwa kwa uficho ni chenye kupendeza.”+

      18 Lakini hawajue kwamba wale wenye hawana uwezo katika kifo wako pale,

      Kwamba wageni wake wanapatikana katika sehemu za chini kabisa za Kaburi.*+

  • Waefeso 5:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Kwa maana munajua hili, na munalitambua ninyi wenyewe, kwamba hakuna mwasherati*+ ao mutu mwenye haiko safi ao mutu mwenye pupa,+ maana yake kuwa muabudu-sanamu, mwenye kuwa na uriti wowote katika Ufalme wa Kristo na wa Mungu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine