-
Mezali 6:16, 17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Macho yenye majivuno,+ ulimi wa uongo,+ na mikono yenye kumwanga damu yenye haina kosa,+
-
Ufunuo 21:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Lakini wale wenye woga na wale wenye hawana imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu wao na wauaji+ na waasherati*+ na wale wenye wanazoea kupashana habari na pepo wachafu na waabudu-sanamu na waongo wote,+ fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa lenye linawaka moto na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+
-
-
-