Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Utaharibu wale wenye kusema uongo.+

      Yehova anachukia watu wenye jeuri na wadanganyifu.*+

  • Mezali 6:16, 17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Kuko vitu sita (6) vyenye Yehova anachukia;

      Ndiyo, vitu saba (7) vyenye anachukia* sana:

      17 Macho yenye majivuno,+ ulimi wa uongo,+ na mikono yenye kumwanga damu yenye haina kosa,+

  • Ufunuo 21:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Lakini wale wenye woga na wale wenye hawana imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu wao na wauaji+ na waasherati*+ na wale wenye wanazoea kupashana habari na pepo wachafu na waabudu-sanamu na waongo wote,+ fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa lenye linawaka moto na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine